Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
viazi vitunguu karoti na ndizi hapo poa........ngoja waje wataalam wa ujasiliamali ....
Ni biashara nzuri, unachotakiwa kufanya ni kutengeneza network ya masoko ya hayo mazao.Kwa upande wa vitunguu vile vya Raa Mbuyuni ndio vinapendwa dar.Na ni vizuri ukod gari zima ili mazao yako yawahi kufika hasa nyanya
Habari zenu
Nataka kuanza biashara kuchukua mazao kutoka mikoa tajwa kuja Dar
Vitu navyofikiri kuchukua ni viazi, vitunguu au nyanya nilikuwa naomba mwenye uzoefu na biashara toka mikoa hiyo anipe ABC zake na jinsi ya kupata soko Dar
Mazao unayotaka kuanza nayo ni perishable, hivyo ni vizuri uanze na yale yenye lifespan kubwa kama ndio unaanza.
Ukianza na vitunguu maji ni bora zaidi, kisha tafuta karoti,kisha viazi ( ila msimu huu kwa viazi ni noma, unaweza kulia), nyanya za sasa hivi zina bei nzuri kote, yaani shambani na sokoni, kama unaanza, anza na vitunguu.
Ukipata ndizi mshale au mzuzu ni vizuri, hizi zina maisha marefu, za kuiva acha kwanza,pata kwanza uzoefu.
Ukifanikiwa kupata vitunguu swaumu, ni magoli zaidi.
Viazi vina tatizo gani mkuu?