Msaada binamu yangu mifupa inakaza tatizo nini?

SACO

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2011
Posts
2,623
Reaction score
3,397
Najua wengi watasema nenda hospitalini lakini ni kuwa huko amepelekwa na hadi madaktari wa mifupa amekutana nao lakini hawajafanikiwa. Anakuwa kama anapararize upande mmoja hasa kwenye mkono mmoja na anatetemeka sana ni mwaka sasa kiasi hadi ndugu wanafikiria kwenda kwa witch doctor. Naomba msaada kabla baadhi ya ndugu hawajachukua maamuzi
 
Sina utaalamu wa tiba ila nina swali;Tafsiri ya "witch-doctor" kwa kiswahili ni nini?
 

Habari, pole kwa kuuguliwa.
Kwa maelezo yako, silioni kama tatizo la mifupa bali: misuli vs mishipa ya fahamu, vs uti wa mgongo vs ubongo.

Historia nzuri ya mgonjwa, ukaguzi wa mgonjwa na vipimo vyaweza kuelekeza tatizo la msingi. Nafasi bado ipo.

1: Mmewahi kukutana na daktari bingwa wa mishipa ya fahamu?

2: Mlifanikiwa kufanya vipimo vyovyote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…