Ni kweli tumwachie Mungu aamue ila kibinadamu hukumu tunayompa tuko sahihihapana bado ananafasi ya kufanya toba na kuomba msamaha kumbuka hata yeye ameubwa pia kwa mfano wa MUNGU. Huwezi amini kwa uzi huu wako wanawake wamehahilisha kutoa mimba kwa hiyo ameokoa maisha ya watoto wengi zaidi kwa kosa moja.
tusimuhukumu bali tuombe huruma ya MUNGU amponye na awe shuhuda kwa wengine.
o
Nimeshampigia simu,anaenda1. Pumbavu zake (nimeongea ka mtu wa kijiweni)
2. Professionally: Mrudishe hospitali haraka, apewe dawa za kuzuia breeding na afanyiwe fluid replacement as akiendelea kuvuja damu ataathiri mifumo mingine ya mwili.
Kuhusu ugumba, kama kasafishwa vzr atakuwa vzr, bt kama mji wa mimba umevurugwa hiyo ni case gynecologist atamfanyia uchunguzi na kutoa ushauri vzr.
Nasisitiza, acha kuandika posts hapa, mpeleke hosp haraka!
Hapana tukumbuke shetani ni roho na inaweza kumwingia yeyoteNi kweli tumwachie Mungu aamue ila kibinadamu hukumu tunayompa tuko sahihi
najaribu kugoogle kama naweza kupata contact zake nikizipata nitakupa huyu alishafanya oparation nyingi na kuwasaidia wanawake wenye mazingira kama haya.Ndanda wapi hiyo?
Muoneni daktari harakaVidonge,Jana aliporudi hospital akachomwa sindano ambayo imemrudisha kwenye bleed ya mwanzo
Mimi mtu wake wa karibu sana,mimba mbili alitoa kwamba alinasa akiwa na mtoto mchanga ,ila hii ya juzijuzi katoa kwasababu ya kutolea tafrani na mtu wake akimtuhumu kuwa anachepuka.KWANI wewe nani kwake hadi unajua all these details?
Mawazo ya kibiandamu:
1. Mjinga na anamchezea Mungu- Kweli Mungu wetu ni wa rehema ila hujatumia kinga kwenye ngono okay umepata ya kwanza umetoa umepona umerudia same problem umenasa umetoa , umepona. Bado unarudia mara ya tatu??? Kiukweli hana haja na maisha yake kama hajathamini ya kiumbe hicho.
2. Usikute vidonge hivyo kapewa tu pharmacy? sio na wataalamu; na mambo ya mitaani atakuja juta unaweza jiletea hata kansa au kuharibu kizazi .
3. Anahitaji ushauri nasaha kwa watu wazima yaani starehe ambayo unaweza kuzuia mimba bado kuna watu wanacheza na afya zao? anajua madhara ya overbleeding ? ndio chanzo kikubwa cha kifo kwa kina mama wenye mimba
Kweli TUSIHUKUMU na Tusamehe 7 X 70hapana bado ananafasi ya kufanya toba na kuomba msamaha kumbuka hata yeye ameubwa pia kwa mfano wa MUNGU. Huwezi amini kwa uzi huu wako wanawake wamehahilisha kutoa mimba kwa hiyo ameokoa maisha ya watoto wengi zaidi kwa kosa moja.
tusimuhukumu bali tuombe huruma ya MUNGU amponye na awe shuhuda kwa wengine.
o
Mtwara - Masasi kama sijakoseaNdanda wapi hiyo?
Afike hospitali haraka maana ishu ya damu na maumivu ukiongeza na kujilaumu/kujutia uamuzi alio chukua sio kitu rahisi anahutaji msaada wala haihitaji hata kumsikiliza anacho shauri hapo aende tuu hospitaliDuu mbali sana