Msaada,bleed wiki mbili mfululizo

Inauma sana,inauma mno [emoji26][emoji26][emoji26]
Alifanya kwa hasira Sasa hivi anajuta
Acha uongo huwenda alifanya kwa hasira kwakua ulimshurutisha, usianze kummbeza baba muhudumie tu hakuna namna. 😊
 
Hatimaye leo hii ushauri wenu umefanya kazi baada ya muhusika kukiona cha moto,Juzi alikataa kwenda hospital badala yake akampigia simu aliyemchoropoa akamchoma sindano ya kuzuia bleeding ,haikufanya kazi yoyote badala yake iliongeza speed na maumivu makali sana,Leo asubuhi kaenda hospital wamemcheki ultrasound na kuonekana ana masalia kibao ya uchafu uliooza,maana alikuwa anableed damu nyeusi,kasafishwa na kuandikiwa dawa amox metro na zinginezo
Jamani wanawake kuweni makini Sana mtakuja kufa kizembe
 
Kwa mujibu wa maelezo yake hii ni mimba ya tatu, mbili zilizotangulia alikuwa anatoa kwa njia ya vyuma na alikuwa akibleed siku chache tu,hii ya Sasa inamtesa kwasababu alimeza vidonde
Mwambie aache ufala! Kama hataki kuzaa kwanini anabeba mimba?? Yaani mimba 3 zote katoa!!!!..... Bora aendelee kuvuja damu tu mpaka afe ibilisi maluuni huyo!!
 
Mwambie aache ufala! Kama hataki kuzaa kwanini anabeba mimba?? Yaani mimba 3 zote katoa!!!!..... Bora aendelee kuvuja damu tu mpaka afe ibilisi maluuni huyo!!
Nikimwambia aache ufala nitakuwa namremba sana,nimemtwanga maneno mazito mpaka hataki kuniona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…