Msaada: Bodi ya mikopo (HESLB)

Msaada: Bodi ya mikopo (HESLB)

Harooney

Member
Joined
Sep 14, 2014
Posts
37
Reaction score
2
Naomba mnisaidieni kwa hili,vyuo vimefunguliwa na wengine washaripot na wanasema mpaka ulipe angalau nusu ya karo na fees nyingne,sasa mimi ntalipaje karo na cjajua kama bodi ya mikopo kama italipa karo yote?.na hao bodi wanatoa lini majina ? na tukienda huko chuo 2tatumia nn kama ha2jaona mikopo?. naomba msaada kwa anaeelewa
 
Naomba mnisaidieni kwa hili,vyuo vimefunguliwa na wengine washaripot na wanasema mpaka ulipe angalau nusu ya karo na fees nyingne,sasa mimi ntalipaje karo na cjajua kama bodi ya mikopo kama italipa karo yote?.na hao bodi wanatoa lini majina ? na tukienda huko chuo 2tatumia nn kama ha2jaona mikopo?. naomba msaada kwa anaeelewa



Kama vipi lipa nusu bodi ikikupa watakurefund.Pesa ya kutumia wakati unasubiri boom lazima utoke nayo,kwa maana huwa inachelewa kidogo
 
Naomba mnisaidieni kwa hili,vyuo vimefunguliwa na wengine washaripot na wanasema mpaka ulipe angalau nusu ya karo na fees nyingne,sasa mimi ntalipaje karo na cjajua kama bodi ya mikopo kama italipa karo yote?.na hao bodi wanatoa lini majina ? na tukienda huko chuo 2tatumia nn kama ha2jaona mikopo?. naomba msaada kwa anaeelewa

Sasa ndugu na hayo majina hata wakitoa leo unauhakika wakupata?
 
We kubliana na masharti watakayotoa chuo. Lipa ada nusu kama BODI watakulipia unarudishiwa pesa yako kama hawatokulipia ni advantage kwako pia... Cha msingi nenda na hela ya matumizi ya kutosha..
 
We kubliana na masharti watakayotoa chuo. Lipa ada nusu kama BODI watakulipia unarudishiwa pesa yako kama hawatokulipia ni advantage kwako pia... Cha msingi nenda na hela ya matumizi ya kutosha..

iyo hela ya matumizi inatakiwa kama ya muda gani
 
Usiwazee sana. Jambo dogo sana hilo! Lipa ada kama,chuo kinavyosema na uwe na hela accomodation na food. Alafu ndo uwasikilizie hao jamaa wakikupa poa wakikunyima endelea kusoma if and only if plan yako ni kusoma for any means!! Mimi lilinikuta hili ila namshukuru Mungu hawa jamaa walinipa 99%'
 
iyo hela ya matumizi inatakiwa kama ya muda gani

dogo inategemea na vyuo,kuna vyuo kama udsm,ardhi,MUHAS,SUA,DIT hivyo ni fasta kidogo kuingiziwa,but ukisoma huko mavyuo ya kisanii ujue utadima kinyama,huko sokemu,st joseph,cjui rucco unaweza kusahau
 
Bwana acha kuwakashifu watu ndugu.. una maanisha nini kwa kusema "mavyuo ya kisanii"..??
 
Bwana acha kuwakashifu watu ndugu.. una maanisha nini kwa kusema "mavyuo ya kisanii"..??

dogo inategemea na vyuo,kuna vyuo kama udsm,ardhi,MUHAS,SUA,DIT hivyo ni fasta kidogo kuingiziwa,but ukisoma huko mavyuo ya kisanii ujue utadima kinyama,huko sokemu,st joseph,cjui rucco unaweza kusahau

Cjui huyu jamaa anataka kumaanisha nn" mavyuo ya kisanii"
Hebu atufafanulie kidogo
 
Back
Top Bottom