Jaman sory naomba kuuliza kuwa suala la boom kwa first year tunapata lin? Mana me nimeripot hapa udom tar. 30/10 lakn mpaka sasa cjapata boom langu na maisha yashaanza kuwa magumu. Naomben majibu kama watu wa udoso mnamaelezo mazur yenye uhakika au ukitaka niulza kwa kina my no. 0764717864