Msaada brake za gar yangu (ABS) zipo chini sana

mabwiku

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
447
Reaction score
390
Salama wakubwa,nimepata changamoto kwenye gari yangu,nilipeka kwa fundi kucheki shockup za nyuma make nilikua nasikia mguu mmoja wa nyuma haupo sawa,katika kuitoa kuna bolt inayoshika chini ya shockup ilikataa kutoka akaipiga nyundo ikatoka,tatizo tulisahau kutoa battery terminal kuja kuwasha gari taa ya ABS na PARKING BRAKE zikawaka kwenye dashboard,

Fundi akafungua mguu na kukagua na bahati mbaya brake fluid ikamwagika yote na hapa ndipo tatizo lilipoanzia,ametoa upepo miguu yote lkn bado brake nazipata kwa shida
 

Pole mkuu... jaribu kufungua pipe zinazoenda kwenye miguu yote halafu mwaga mafuta ya break yote na ujaze mafuta mapya, anza kutoa upepo/bleeding kwa kila mguu KWA KUTUMIA MAFUTA MAPYA na utakapomaliza miguu yote itakuwa O.K...mrejesho pls... mie ilinifanyia hivyo baada ya kubadili shoe cha moto nilikipata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…