Msaada: Brand ya Vifaa vya umeme

Msaada: Brand ya Vifaa vya umeme

xfactor

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
1,511
Reaction score
1,289
Heshima kwenu wakuu wa hili jukwaa tukufu

Wakuu nahitaji kujua brand gani kutoka UK ya vifaa vya umeme kama balbu,nyaya,socket,switch,circuit breakers,extensions,multi-plugs,nakadhirika ambayo ni nzuri na ya kuaminika.

Nafikiria kufanya hii biashara hivyo nahitaji kujua soko la Tanzania linahitaji brand gani ya kutoka UK.

Pia kama una ushauri zaidi kuhusu hili wazo nakaribisha mawazo
 
Back
Top Bottom