Lady Ra
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 879
- 991
Za Weekend Wandugu,
Naombeni msaada, nina Rav 4 Kill Time wanaziita. Last week nataka kutoka nayo nkagundua klach/breki imekua laini Sana, yaan ukikanyaga mguu wafika mpaka chini hata kama hujakanyaga kwa nguvu.
Nkamuita Fundi akafungua Sijui ndo master ya breki pale mbele kwenye bonet juu ya sterling, akaiosha osha na mafuta ya breki, akarudishia akaweka mafuta mengine, ikarudi kua ngumu so nkatoka, na nkarudi kupaki kama kawa Jioni.
Baada ya hapo sikulitumia kama week hivi, Jana nakuja kutoka nalo ikawa same story, yule fundi kuja akasema yabidi kubadili rubber kwenye master. Nkampa hela nkatoka bila gari. Jioni nkalitest kweli iko ngumu.
Sasa asubuhi hii tena nataka kutoka nayo inakua same story, ukikanyaga mguu wafika mwisho. Fundi asema Ukitaka kuendesha mkono wa kushoto ushikilie Hand Brake ili ikitokea la kutokea wavuta juu.
Msaada wenu naouomba hapa problem yaweza kua nini? Manake fundi kacheki two times but inakua ni temporary solution tu. Safari zingine zahitaji Gari
Naombeni msaada, nina Rav 4 Kill Time wanaziita. Last week nataka kutoka nayo nkagundua klach/breki imekua laini Sana, yaan ukikanyaga mguu wafika mpaka chini hata kama hujakanyaga kwa nguvu.
Nkamuita Fundi akafungua Sijui ndo master ya breki pale mbele kwenye bonet juu ya sterling, akaiosha osha na mafuta ya breki, akarudishia akaweka mafuta mengine, ikarudi kua ngumu so nkatoka, na nkarudi kupaki kama kawa Jioni.
Baada ya hapo sikulitumia kama week hivi, Jana nakuja kutoka nalo ikawa same story, yule fundi kuja akasema yabidi kubadili rubber kwenye master. Nkampa hela nkatoka bila gari. Jioni nkalitest kweli iko ngumu.
Sasa asubuhi hii tena nataka kutoka nayo inakua same story, ukikanyaga mguu wafika mwisho. Fundi asema Ukitaka kuendesha mkono wa kushoto ushikilie Hand Brake ili ikitokea la kutokea wavuta juu.
Msaada wenu naouomba hapa problem yaweza kua nini? Manake fundi kacheki two times but inakua ni temporary solution tu. Safari zingine zahitaji Gari