Ambition Boy
Senior Member
- Sep 24, 2014
- 146
- 27
Kwa wale waliofanikiwa kufika A-level
Kuna inshu ina nitatiza hapa 👉philosophy ideas of lenin & Karl Marx na philosophy ideas of Nyerere na Nkrumah .
Nimetafuta nimeshindwa na ticha kasema tutajua wenyewe
Pliz ndgu zangu nisaidieni🏃🏃🏃🏃🏃
Duuiu kitu simple hicho kina kushinda nn dogo soma understanding ya GS ukishindwa nipe email nikupe mazagaaa pia kuna CD unaweza icheck ningekuandikia hapaaa