Nimechaguliwa bsc in chemistry udsm lakni ningependa kusoma fisheries and aquaculture je kuna uwezekano wa kubadili course? Vp kuhusu soko la ajira la hii course naombeni msaada tafadhali!
Nimechaguliwa bsc in chemistry udsm lakni ningependa kusoma fisheries and aquaculture je kuna uwezekano wa kubadili course? Vp kuhusu soko la ajira la hii course naombeni msaada tafadhali!
Coz hiyo zaid ni kujiajir zaidi ujiandae ukimaliza uwe na capital kwa ajili ya zana za kuvulia,nenda kawe mwalimu wa chemistry au piga zaid uwe chemist wa tz