Msaada Bsc in physics

Joined
Oct 13, 2013
Posts
15
Reaction score
4
Msaada kwa anaejua kuhusu hii course 'bachelor of science in physics'
1: Ina mtrain m2 kuja kuwa nani?
2:field zao huwa wanafanyia wapi?
3:Is it marketable?
Kuna mdogo wng kachaguliwa kwenda kuisoma bagamoyo university but he know nothing about it wala hakuichagua, na kwa taarifa nilizopata pia inatolewa UDOM, college ya natural science
 
Amechaguliwa kuisoma hiyo coz kimakosa au alichagua mwenyewe?.anyway ngoja waje wataalam wakujuze
 
Hapana mkuu kwa kawaida huyo si mwalimu bali ni mwanaphysics yaan physicist na atahuska na mambo ya physics tu
Ndivyo inavyotakiwa kuwa lakini si unajua Bongo au umesahau??
 
huyo mdogo wako anakuja kuwa mwalimu wa physics hiyo ipo upande wa natural science!
 
But mbona kuna watu wanasoma Bed science, yy kozi za ualimu hasomi,, hy imekaaje?

kwa ilivyo anatakiwa awe mtu wa physics,atafanya kazi za geophysics,petrophysics,nuclear physics but hapa kwetu pameoza ndio maana nikakwambia ualimu unamuhusu,but akimaliza bachelor ana uwanja mpana wa kusoma fani mzur kama geophisics ambAyo ina market sanaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…