Msaada Bsc Molecular biology and biotechnology

comrade il

Member
Joined
Mar 13, 2014
Posts
13
Reaction score
1
Naomba msaada kwa anayejua au anayesoma bachelor tajwa nahitaji jua kuhusu upatikanaji wa ajira na kama ni kujiajiri naweza kujiajiri katika nini na vp kuhusu ushindani wakati wa udahili sababu ufaulu wangu sio mkubwa nina dvn 2
 
  • 1. Ulimaliza Mwaka gani ?
  • 2. Kidato Cha ngapi ?

snipa
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…