Zuia Sayayi
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 841
- 134
Mdogo wangu amemaliza form 4 mwaka jana na matokeo yamekuja amepata DIV IV 27, Jaman naomben msaada kuhusu cha kumfanyia ili aweze kuendelea na mambo ya chuo.! Au huko vyuoni ni michosho.?,
na ni chuo gani? Ambacho kitamfaa huyu dogo
msaada plz..!
Napenda nae ajitegemee kuliko kunitegemea.!
NATANGULIZA SHUKRANI...!
na ni chuo gani? Ambacho kitamfaa huyu dogo
msaada plz..!
Napenda nae ajitegemee kuliko kunitegemea.!
NATANGULIZA SHUKRANI...!