Msaada ,changamoto ya kui root simu

Kumfumaster97

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2024
Posts
354
Reaction score
372
Habari za muda huu ,hope mko poa wale wenye changamoto za kiafya Mungu awaponye

Ipo hivi kuna ndugu yangu amenunua simu mtaani Samsung A05 Ila baada ya kununua ikapita kama siku 10 mbele simu ikawa haisomi laini yaani wali block Imei so baadae akaarudisha simu kwa mhusika na kumweleza changamoto yenyewe sasa jamaa akaichukua ile simu ili kufix hiyo shida

Ila baada ya kuifix ikawa uki upload App inagoma kufungua mfano ali upload NMB app ikawa inaandika this phone has been rooted so hauwezi kufungua app yenyewe ,msaada jamani jinsi ya kufix hii changamoto mwenye kujua au mwenye ushauri kulingana na experience yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…