Kaory
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 537
- 1,114
Habarini wana afya,
Mimi ni mwanamke umri ni 40+, nina shida kwenye kubana mkojo. Nikibanwa na mkojo nipate haraka mahali pa kujisitiri vinginevyo unatoka kidogokidogo yaani kuubana siwezi au kuvumilia.
Nilishafanyiwa operation 4, mbili za uzazi na mbili za goita, sasa wengi wanasema kwa kuwa nimetumia catheter Mara 4 huwa zina tabia ya kulegeza mishipa ila sina uhakika na hilo.
Kama kuna tiba au ushauri kutoka kwa wataalamu naomba msaada wenu. Asanteni in advance!
Mimi ni mwanamke umri ni 40+, nina shida kwenye kubana mkojo. Nikibanwa na mkojo nipate haraka mahali pa kujisitiri vinginevyo unatoka kidogokidogo yaani kuubana siwezi au kuvumilia.
Nilishafanyiwa operation 4, mbili za uzazi na mbili za goita, sasa wengi wanasema kwa kuwa nimetumia catheter Mara 4 huwa zina tabia ya kulegeza mishipa ila sina uhakika na hilo.
Kama kuna tiba au ushauri kutoka kwa wataalamu naomba msaada wenu. Asanteni in advance!