Samahani,mimi ni mgeni hapa.
Naombeni ushauri,kuna dogo langu linafanya mchakato wa application ya chuo anapenda sana akasome Bsc. mathematics .
Basi naomba kujua hiyo Bsc.mathematics iko chuo gan na ada yake kiasi gani na je akimaliza anaweza kufanya kazi gani na wapi?.je kweli anaweza akamaliza na kupata ajira?
Nashukuruni sana
.
Tafadhari msaada wenu unahitajika ndugu zangu.
Naombeni ushauri,kuna dogo langu linafanya mchakato wa application ya chuo anapenda sana akasome Bsc. mathematics .
Basi naomba kujua hiyo Bsc.mathematics iko chuo gan na ada yake kiasi gani na je akimaliza anaweza kufanya kazi gani na wapi?.je kweli anaweza akamaliza na kupata ajira?
Nashukuruni sana
.
Tafadhari msaada wenu unahitajika ndugu zangu.