Husika na kichwa cha thread!!
Nina mtu wangu wa karibu anatafuta chuo kwa ajiri ya diploma kuanzia september mwaka huu!
Nimeleta kwenu ili niweze kumuepusha na vyuo vinachipuka kila siku ambavyo vingi vimejaa ubabaishaji na sitaki yamkute yaliyomkuta wakati anasoma ngazi ya cheti!
Natanguliza shukrani!!