Msaada: clinic ya akina mama

Annina

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2009
Posts
437
Reaction score
59
Habari wapendwa, naomba msaada wa kupatiwa taarifa za clinic na massage centre nzurikwa ajili ya akina mama wajawazito iliyopo Dar es salaam. Nimewahi kusikia juu Primier clinic naomba wanaofahamu hapo vizuri au mahali pengine wanishauri. Asante
 
Habari wapendwa, naomba msaada wa kupatiwa taarifa za clinic na massage centre nzurikwa ajili ya akina mama wajawazito iliyopo Dar es salaam. Nimewahi kusikia juu Primier clinic naomba wanaofahamu hapo vizuri au mahali pengine wanishauri. Asante

Hongera Annina, nadhani wadau watakuja soon kukupa Taarifa Muhimu, ila Nasikia Pale Tumaini Hospital kuna Daktari akina Mama huwa wanamsifia sana anaitwa Dokta Kapona, vile vile Agha kan kuna Dakatri anaitwa Shaofiq nasikia naye ni Mzuri
 
Asante sana Albedo, nasubiri kusikia toka kwa wadau na nitaangalia pia hao wa Agha Khan na Tumaini. Shukran
 
Njia ya mbezi beach ya chini kwenye daraja la mwisho kama unaenda africana ipo pale ni bomba balaa, pia Masaki spur ila kule ni gharama ujiandae
 
Dr mzuri wa akina mama ni Ana purna Regency Hospita. She is also a Woman.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…