Msaada: Contacts za Wema Sepetu

Msaada: Contacts za Wema Sepetu

Yogati

Member
Joined
Jan 1, 2013
Posts
14
Reaction score
1
Heri ya mwaka mpya ndugu zangu. Kama heading inavyosema tafadhalini naombeni mwenye contacts za huyu dada nina shida naye sana, either namba ya simu au BBM pin please. Natanguliza shukrani
 
Namba siyo mkuu hii ni ya mwanaume jina linaanza na I, am serious jamani nisaidieni
 
Wapigie waandishi wa Risasi, Amani au Ijumaa watakupatia bila kusita.
 
Ungeenda global publishers ungempatakwa urahisi sana.
 
Heri ya mwaka mpya ndugu zangu. Kama heading inavyosema tafadhalini naombeni mwenye contacts za huyu dada nina shida naye sana, either namba ya simu au BBM pin please. Natanguliza shukrani

unataka umpe yogati nini:becky:?????
 
Ungeenda global publishers ungempatakwa urahisi sana.

Dah huko nikienda si ndo watanipiga picha kisiri then kesho yake inatoka front page na heading " Wema Sepetu amnyima usingizi mrembo, adai anatembea na mume wake, amsaka kona zote hadi global publishers" mweh!!
 
Dah huko nikienda si ndo watanipiga picha kisiri then kesho yake inatoka front page na heading " Wema Sepetu amnyima usingizi mrembo, adai anatembea na mume wake, amsaka kona zote hadi global publishers" mweh!!

Haaahaaahaaaahaaaaaaaaaaaahaaaaaaaaaaaaaa! Umenichekesha sana.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Heri ya mwaka mpya ndugu zangu. Kama heading inavyosema tafadhalini naombeni mwenye contacts za huyu dada nina shida naye sana, either namba ya simu au BBM pin please. Natanguliza shukrani
Nenda pale Maisha Club nina uhakika ndani ya wiki moja utakutana naye, au pita kila wikend jioni kuanzia saa moja usiku pale moroco hotel (kitua kati ya magomeni mapipa na mkwajuni) kuna duka maarufu sana la mkorogo... hapo pia utampata au utapata dirrection nzuri ya kumpata.
 
Heri ya mwaka mpya ndugu zangu. Kama heading inavyosema tafadhalini naombeni mwenye contacts za huyu dada nina shida naye sana, either namba ya simu au BBM pin please. Natanguliza shukrani

Tembelea blog yake kuna contact zake huko.
 
Njoo makumbusho nkupeleke kwake ni jirani yangu..
 
Nenda pale Maisha Club nina uhakika ndani ya wiki moja utakutana naye, au pita kila wikend jioni kuanzia saa moja usiku pale moroco hotel (kitua kati ya magomeni mapipa na mkwajuni) kuna duka maarufu sana la mkorogo... hapo pia utampata au utapata dirrection nzuri ya kumpata.

inaelekea unajua ratiba zake kila aendako...mi namshauri aenda kwenye kampuni ya I-view media akamuulizie diamond ndio atapata namba yake
 
Back
Top Bottom