Kijana kimbilia hiyo kozi ni nzuri,haina changamoto nyingi kwenye ajira,kazi ni nyingi sana.Vilevile hata ktk usomaji wake kama ulifaulu vizuri ni kawaida tu nyie ndio wataalam wa utafiti wa maji chini ya ardhi miamba na ukandarac wa visima vya maji.ni bataaaa tuuuuu,kozi ipo chuo cha rasilimali za maji tu dsm.