Mkuu mimi nakushauri nenda hospital yoyote maana naamini wanatoa huduma bora,Habari wana JF
Kwa yeyote anayejua daktari mzuri au hospitali nzuri kwa ajili ya watoto wachanga iliyopo Dar, naomba anisaidie jina la hospitali au contacts za Daktari.
Ahsanteni.