miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
Habari zenu wakuu.
Naomba kama kuna mtu anajua namna ya kupata uzalishaji wa mwaka 2013/2014 na 2014/2015 wa zao la UFUTA , KARANGA NA CHOROKO. AU kama unahizo data.
Asanteni kazi njema.
Naomba kama kuna mtu anajua namna ya kupata uzalishaji wa mwaka 2013/2014 na 2014/2015 wa zao la UFUTA , KARANGA NA CHOROKO. AU kama unahizo data.
Asanteni kazi njema.