Msaada: Dawa ambayo inasaidia kuotesha ndevu zijae

Msaada: Dawa ambayo inasaidia kuotesha ndevu zijae

Baraka zablon

Member
Joined
Apr 1, 2018
Posts
31
Reaction score
18
Wadau kama kuna mtu anajua dawa ambayo inasaidia kuotesha mindevu ikajaa..maana kuna rafiki yangu anataman sana kuwa na ndevu nyingi...vindevu vyake vya kidevuni vimechomoza viwili tu...anatamani sana kuwa na mindevu kama mm na mitimba...kwa m2 yeyote anayejua dawa ya kuotesha atujuze hapa jamaa aote ndevu..
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwambie apake mavi ya kuku mwezi mzima
 
Mwambie apake kuna dawa inaitwa hair fertilizer ni iko kwenye tube. Once a day kila anapo lala. Afanye ivyo kama 3 month. .
 
Kweli bhna hili tatzo la wengi sanaa...!! Dawa ni nini jamani??
 
Apake castor oil..midevu itajaa tu
 
Mpe dawa uliyotumia wewe kuotesha ndevu zako,
 
Hata mshana hii dawa hana. Maana wamasai ndo wangekuwa Wateja wake.
 
Back
Top Bottom