fasi dwasi
R I P
- Sep 23, 2018
- 105
- 108
Nipo naumwa jamani sasa katika swala la lishe naona napata changamoto sana vidonda vinanipa shida sana ndani ya mdomo na ulimi. Nimejaribu kutumia vitamin B complex lakini naona dozi inaishia haviponi
Anayejua dawa nzuri ya hiki kitu msaada
Sent using Jamii Forums mobile app
Anayejua dawa nzuri ya hiki kitu msaada
Sent using Jamii Forums mobile app