Msaada-dawa ya asili yakifua

dawa ya maradhi ya kifuwa fanya hivi chukua majani ya mpera yakoshe na uchemshe na maji na uwe unakunywa kutwa mara 3 nusu glasi kwa muda wa siku 3 .kisha njoo hapa unipe feedback.

kama akichanganya na majani ya mkaratusi itakuwa mutreeb zaid
 
kama akichanganya na majani ya mkaratusi itakuwa mutreeb zaid
Peke yake itafanya kazi hayo Majani ya mpera au Dawa zingine hizi hapa

Sweet Apple:

Kiasi cha 250 grams cha apple ale kila siku atumie kwa muda wa wiki na zaidi.

Tui la Nazi:
Tui la nazi uchanganye na kijiko kimoja cha poppy seeds mbegu za Afyuni (Mbegu za Hash Hash) utie na maziwa kiasi na uchanganye na kijiko kimoja cha asali safi. Kila siku anywe usiku.

Asali:
Dawa muhimu kuliko zote, awe mtumiji asali kwa sana.



Poppy Seeds mbegu za Afyuni (Mbegu za Hash Hash)
 

Attachments

  • Poppy_seeds.jpg
    252.2 KB · Views: 473
Maelezo yako hayatoshi kutoa ushauri wa maana ndugu yangu..labda wataalam wa mitishamba watakusaidia,maana wao hawahitaji maelezo mengi kutoka kwa mgonjwa.

Ila mimi ningehitahi kujua vitu kana: lini tatizo limeanza,kama unakohoa,kama kifua kinabana unashindwa kupumua,kama unajisikia mwili wa moto(homa),kama tatizo lina uhusiano wowote na shughuli unayofanya,kifua kinauma wapi(kwenye mbavu,katikati,kulia au kushoto),kama maumivu yanasambaa(kuelekea wapi,begani,mkononi nk.),nini kinapunguza maumivu nanini kinaongeza maumivu,kama miguu inavimba..na huo muungurumo ukoje,umeanzaje...kuna tiba yoyote umewahi pata(ipi,lini na ilikuwaje)

Of course,vitu kama hivyo.
 
Mkuu Mrimi huyu kaja hapa kuhitaji dawa ya kifuwa laiti angelihitaji aulizwe sana ingelkuwa ni vizuri lakini katika topic yake kasema anataka dawa za asili ya maradhi ya kifuwa ndio maana tunampa dawa pasipo na kumuuliza maswali mengi asante samahani kama nimekukwaza kaka.
 

Of course hujanikwaza mkuu..
 
Dawa ya Maradhi ya kifuwa fanya hivi chukua Majani ya mpera yakoshe na uchemshe na maji na uwe unakunywa kutwa mara 3 nusu glasi kwa muda wa siku 3 .kisha njoo hapa unipe Feedback.

Mkuu hayo majani kiasi gani na yanachemshwa katika maji kiasi gani? Naomba kujuzwa hilo.
 
Mkuu hayo majani kiasi gani na yanachemshwa katika maji kiasi gani? Naomba kujuzwa hilo.
Majani mengi ya kutosha chemshankwa maji kipimo cha glasi 6 kisha yaache kama dakika 10 yachemke kisha chukuwa nusu glasi kunywa kutwa mara 3 kwa muda wa siku 3 au siku 7 utapona kabisa
 
Majani mengi ya kutosha chemshankwa maji kipimo cha glasi 6 kisha yaache kama dakika 10 yachemke kisha chukuwa nusu glasi kunywa kutwa mara 3 kwa muda wa siku 3 au siku 7 utapona kabisa

Shukrani kwa elimu hii.
 
Bro. Angalia wasikuue kwa dawa zisizo na TBS. Kama hutaharisha sijui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…