Naomba mwenye kujua dawa ya jicho anambie, jicho lilianza kitu km mchangabaadae likaanza kuvimba hlf linatoa machozi tu muda wote.
Nimeenda hospital nimetumia dawa aina 3 . Chloramphenical eye drop, ciprofloxacin eye drop, na gentamicin ambayo nimepewa jana, uvimbe kiasi umepungua ila machozi bado yanatoka tu.
Tafadhali mwenye kujua dawa nyingine anisaidie.
Nimeenda hospital nimetumia dawa aina 3 . Chloramphenical eye drop, ciprofloxacin eye drop, na gentamicin ambayo nimepewa jana, uvimbe kiasi umepungua ila machozi bado yanatoka tu.
Tafadhali mwenye kujua dawa nyingine anisaidie.