msaada: dawa ya jinamizi (nightmere)

muudy

Senior Member
Joined
May 25, 2013
Posts
156
Reaction score
22
waungwana hebu nipeni ushauri wenu nifanyeje maanake cku nyingi clali kwa raha jinamizi huwaga linanisumbua sana ucngizin yaani mpaka ninachoka hebu nishaurini nini nifanye
 
mods pelekeni hii kwenye jukwaa la uchawi
 
Ndoto za kutisha (nightmare).
Zinasababishwa na shibe (kushiba sana), na ulalaji mbaya (chali)...!

Hali hii usababishwa na kugusana kwa diaphragm na abdominal, na hii kupelekea uvutaji wa pumzi kuwa wa shida... Na meseji inayopokewa kwenye ubongo wako ni picha mbaya ya kutisha (kukabwa).

Unaweza kumuona mtu aliyelala akiangaika uku na kule, unachopaswa ni kumtikisa polepole na kumuita jina lake ili ahamke... Upaswi kumshtua kwa sauti mtu aliye kwenye hali hii, unaweza kumsababishia madhara mengine makubwa, kama vile mshtuko wa moyo.@muudy

https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/252447-jinamizi-ni-nini.html
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…