Pole sana, Nakushauri usiendelee kung`oa tena meno, badala yake unaweza kutumia mafuta ya karafuu hasa kama meno yana tundu. Unachukua pamba unaiweka ktk mafuta ya karafuu na kuipachika pamba ktk jino pale penye tundu. Au njia nyingine rahisi pia ni kutumia dawa ya meno ambayo imetengenezwa kwa asali na mmea wa aloevera pamoja na aloe activator. Hutapatwa tena na tatizo hilo kabisa. Mimi menyewe nimeshatumia njia hizo hapo na sijawahi kusumbuliwa tena na meno tangu 2008. Ukihitaji hiyo dawa na Activator naomba tuwasiliane ili nikupatie.
Wakuu poleni na majukumu,
Nimekuwa nikisumbuliwa na maumivi ya Meno kwa muda mrefu sasa ambapo hadi sasa nimeshang'oa Meno matatu, naombeni kama kuna dawa mbadala ya kuondoa haya maumivu maana hadi sasa kuna jingine linaniuma balaa nafikiria kwenda kuling'oa, Ila yataisha....msaada tafadhilini....