Msaada dawa ya kufuta makovu kwenye miguu

Msaada dawa ya kufuta makovu kwenye miguu

Black ma colour

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2012
Posts
733
Reaction score
663
Habari za asubuhi waungwana, nina mdogo wangu ana makovu mawili makubwa kwenye miguu yaan kila mguu una kovu, yeye aliwahi kuumia udogoni sasa makovu ni makubwa afu yana nature kama karatasi vile , here i mean they are very delicate coz akijigonga kwenye kitu kigumu basi kidonda kinajitokeza upya. naomba kufahamishwa hospitali zinazotoa huduma ya kufuta makovu na gharama zake zikoje?
 
Sijakuelewa mkuu,tatizo ni kuondoa hayo madhara yanayotokana na uraini wa ngozi na kumsababishia vidonda mara kwa mara?au unataka awe presentable?kwa upeo wangu ili tatizo la pili ndilo linaloweza kutatuliwa na dawa ya kuondoa makovu na tatizo la kwanza haliwezi kutatuliwa kwa kutibu makovu!!
 
Sijakuelewa mkuu,tatizo ni kuondoa hayo madhara yanayotokana na uraini wa ngozi na kumsababishia vidonda mara kwa mara?au unataka awe presentable?kwa upeo wangu ili tatizo la pili ndilo linaloweza kutatuliwa na dawa ya kuondoa makovu na tatizo la kwanza haliwezi kutatuliwa kwa kutibu makovu!!
am here, embu nisaidie kuhuxu hili manaake linamnyima amani my young kabixa. m nataka afute makovu na co swala la vidonda vya mara kwa mara.
 
Back
Top Bottom