Mzee Chapuuka
Member
- Apr 21, 2017
- 97
- 243
Sinutis ni inflammation of sinuses kwenye pua na kwa kawaida Mgonjwa anakuwa na mafua makali, acha kuchanganya mamboNakushauri tu kwa upole kuw mishipa yako inatanuka sana na kufanyishwa kazi kupita uwezo wake. Ukiendekeza utakuja pata stroke (samahani na tuombe Mungu apitishe mbali). Inaitwa sinutis
Sinusitis is inflamation of tissues around the sinus sio lazima iwe kwenye pua.Sinutis ni inflammation of sinuses kwenye pua na kwa kawaida Mgonjwa anakuwa na mafua makali, acha kuchanganya mambo
Kasome vizuri halafu uone definition yanguSinusitis is inflamation of tissues around the sinus sio lazima iwe kwenye pua.
Sasa sinuses ziko kwenye pua au zipo around the nose?Wewe ndiyo ukasome vizuri!Kasome vizuri halafu uone definition yangu
We upo kiubishi zaidi, haya ngoja nikuacheSasa sinuses ziko kwenye pua au zipo around the nose?Wewe ndiyo ukasome vizuri!
Ndiyo maana zinaitwa PARAnasal sinuses.
We upo kiubishi zaidi, haya ngoja nikuache
Nyeto bao moja chaaap...hapo hakuna cha makengelee wala ma alarmuuuu...
Nakushauri tu kwa upole kuw mishipa yako inatanuka sana na kufanyishwa kazi kupita uwezo wake. Ukiendekeza utakuja pata stroke (samahani na tuombe Mungu apitishe mbali). Inaitwa sinutis
Nadhani jamaa alikuwa ana maanisha tinitisSasa sinuses ziko kwenye pua au zipo around the nose?Wewe ndiyo ukasome vizuri!
Ndiyo maana zinaitwa PARAnasal sinuses.
Yaani unasikia nzeeeeeeeeee!!!!!!! ha! ha! yaache tu! yataondoka yenyewe.Salaam wanaJf
Jamani msaada ,mwenzenu Jana nlikula bia nyingi Sana na kucheza bakulutu hadi alfajiri
Sasa hapa nlipo naandamwa na makengelee masikioni yani sisikiii fresh
Si mnajua yale makengelee yanayosikika masikioni baada ya kunywa dozi ya malaria hasa Krorokwini
Sasa anaejua dawa ya kuondoa hii hali anisaidie jamanii
Kweli,hizo anazosikia jamaa zinaitwa TINNITUSNadhani jamaa alikuwa ana maanisha tinitis
Salaam wanaJf
Jamani msaada ,mwenzenu Jana nlikula bia nyingi Sana na kucheza bakulutu hadi alfajiri
Sasa hapa nlipo naandamwa na makengelee masikioni yani sisikiii fresh
Si mnajua yale makengelee yanayosikika masikioni baada ya kunywa dozi ya malaria hasa Krorokwini
Sasa anaejua dawa ya kuondoa hii hali anisaidie jamanii
Soma vizuri kuhusu ugonjwa huuSinutis ni inflammation of sinuses kwenye pua na kwa kawaida Mgonjwa anakuwa na mafua makali, acha kuchanganya mambo
Exactly ahsante mkuu. Welldone. BravoNadhani jamaa alikuwa ana maanisha tinitis