Changamotto
Senior Member
- Jan 12, 2018
- 191
- 100
oyoge omwetango.Yamenizidi kimo sina mengi zaidi ya kuomba msaada.
Mara nyingi kitu binadamu tunachoita ''mikosi'' au ''mabalaa'' huwa tunayatengeneza wenyewe! Siyo kama nakataa kuna bahati mbaya mikosi au balaa lakini havipo kwa kiwango tunachosema. Ukijaribu kumchunguza mtu anayelia lia sana kuwa ana balaa au mkosi utakuta life style yake ndio inasabaisha anatokewa na hivi vitu. Mtu kama wewe ukimwelezea mtu hiyo mikosi unayosema anaweza kukuta yote imetokea kwa sababu ya nyendo na matendo yako.Yamenizidi kimo sina mengi zaidi ya kuomba msaada.
Mathayo : Mlango 11Yamenizidi kimo sina mengi zaidi ya kuomba msaada.
Atakua anakula rushwa anazookoteza barabarani
Unamwambia nani?ushirikina unausema wewe wala sio mimi, na ungekuwa unamtegemea Mungu hilo neno ufyenga usingelitamkaAcha ufyenge mtegemee Mungu kwa kila kitu.asha ushirikina
Asante,ngoja nijitafakariMara nyingi kitu binadamu tunachoita ''mikosi'' au ''mabalaa'' huwa tunayatengeneza wenyewe! Siyo kama nakataa kuna bahati mbaya mikosi au balaa lakini havipo kwa kiwango tunachosema. Ukijaribu kumchunguza mtu anayelia lia sana kuwa ana balaa au mkosi utakuta life style yake ndio inasabaisha anatokewa na hivi vitu. Mtu kama wewe ukimwelezea mtu hiyo mikosi unayosema anaweza kukuta yote imetokea kwa sababu ya nyendo na matendo yako.
Nini maana ya ufyengeUnamwambia nani?ushirikina unausema wewe wala sio mimi, na ungekuwa unamtegemea Mungu hilo neno ufyenga usingelitamka
AsanteMathayo : Mlango 11
28 Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
Ucha MunguNini maana ya ufyenge
Hata inayoikabili taifaMara nyingi kitu binadamu tunachoita ''mikosi'' au ''mabalaa'' huwa tunayatengeneza wenyewe! Siyo kama nakataa kuna bahati mbaya mikosi au balaa lakini havipo kwa kiwango tunachosema. Ukijaribu kumchunguza mtu anayelia lia sana kuwa ana balaa au mkosi utakuta life style yake ndio inasabaisha anatokewa na hivi vitu. Mtu kama wewe ukimwelezea mtu hiyo mikosi unayosema anaweza kukuta yote imetokea kwa sababu ya nyendo na matendo yako.
Neno ufyenge sio tusi,acha undeziUcha Mungu
Madhara ya bangi ndio hayo,poleNeno ufyenge sio tusi,acha undezi
Omba sana kwa Mwenyezi Mungu usiende kupigwa chale na kuingia maagano na nguvu usizozijua hiko mbeleni utapata shidaYamenizidi kimo sina mengi zaidi ya kuomba msaada.
Sikia,unajua mda mwingine unaweza kuona una mkosi kwa kila unalofanya.hata mimi hunitokeaga kiasi kwamba najiona sina dhamani.ushauri wangu kwako muombe Mungu atakusaidia.usitafute dawa,dawa ni maombi.acha undeziMadhara ya bangi ndio hayo,pole