Azoge Ze Blind Baga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 442
- 1,655
Na mimi nlikua nakutania tu mkuu masagala wala sio matusi hayoHuwa hamtaniwi kidogo tu matusi kibao.
Kwa hiyo unataka kuua sooWakuu salama hapa
Mi kijana wa miaka 34 January 2023 natimiza 35
Nimetokewa na mvi kwenye ndevu ghafla nimeipenda hii hali nahitaji kabisa hizi ndevu zote ziwe nyeupe kabisa na huku kichwani pia.
Sasa hapa najua kuna wataalamu wa masuala ya cosmetics naomba mnitajie dawa nzuri ya kupaka na kufanya hizi ndevu zote na nywele ziwe na mvi jumla hadi nazeeka kabisa.
nenda saloon kila wiki nyoa ndevu kwa magic, utanishukuru baadaye.....Wakuu salama hapa
Mi kijana wa miaka 34 January 2023 natimiza 35
Nimetokewa na mvi kwenye ndevu ghafla nimeipenda hii hali nahitaji kabisa hizi ndevu zote ziwe nyeupe kabisa na huku kichwani pia.
Sasa hapa najua kuna wataalamu wa masuala ya cosmetics naomba mnitajie dawa nzuri ya kupaka na kufanya hizi ndevu zote na nywele ziwe na mvi jumla hadi nazeeka kabisa.
Mwisho wa mwaka huu na pesa imekuwa ngumu sanaHuwa hamtaniwi kidogo tu matusi kibao.
Ni full silesiii, January madogo ada
Acha kabisa.Mwisho wa mwaka huu na pesa imekuwa ngumu sana
Ukiona mtu ana matusi jua kabisa hajatokea kwenye familia ya kiungwanaMatusi yana faida gani?
[emoji3]Huwa hamtaniwi kidogo tu matusi kibao.