Pagani Zonda
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 685
- 468
ππππila duuMkuu pole kwa Maradhi yako ya vidonda vya tumbo usipo pona kwa dawa za hospitali nitafute mimi kwa wakati wako ili niweze kukutibia maradhi yako upate kupona kabisa hivyo vidonda vyako vya tumbo uguwa pole.
Huyo ni mwisi sanaππππila duu
Nadhani uzi uishie hapa. Mfumo wa ulaji ndio unaokuletea matatizo. Kama ulisoma bios kidogo naamini utakua unajua nini kinatokea kabla na baada ya kula kazi za gastric juice na nn kinatokea ikishuka kwenye tumbo kavu. Vinywaji na lishe duni. Kama ukipata mafuta ya kondoo uwe unachanganya kwenye uji itakusaidia. Ukitaka viishe kabisa fuata ushauri wa daktari tumia dawa za awali alafu ukimaliza kuna dawa za miezi 3 ambazo hutibu kabisa lakini ukiwa umezingatia yalioandikwa hapo juu.Badilisha mfumo wa vyakula na vinywaji.... kula sana parachichi na ule kwa wakati
AnanichekeshagaaHuyo ni mwisi sana
Habari wakati huu wadau. Nmekua na tatizo la vidonda vya tumbo ambayo hua vinakuja na kuondoka baada ya mda. Mara zote hua natumia dawa ya Omeprazole pamoja na dawa za kutuliza maumivu na antibiotics.
Naona kipindi hichi imenirudia tena na nmetumia dawa kama awali lakini naona kupona kunaenda taratibu na leo ni siku kama ya 4 tangu vinibane.
Kama kuna mdau/mtaalamu ambaye anafanhamu dawa nzuri zaidi au mbadala nijaribu. Nitashukuru kwa mrejesho wenu.
CharmingLadyHabari wakati huu wadau. Nmekua na tatizo la vidonda vya tumbo ambayo hua vinakuja na kuondoka baada ya mda. Mara zote hua natumia dawa ya Omeprazole pamoja na dawa za kutuliza maumivu na antibiotics.
Naona kipindi hichi imenirudia tena na nmetumia dawa kama awali lakini naona kupona kunaenda taratibu na leo ni siku kama ya 4 tangu vinibane.
Kama kuna mdau/mtaalamu ambaye anafanhamu dawa nzuri zaidi au mbadala nijaribu. Nitashukuru kwa mrejesho wenu.
kufanya nini? Si uiseme wote hapa kama wewe sio walewale matapeli?Dawa ninayo njoo pm epuka matapeli