Y Yanabadilika Member Joined Feb 25, 2014 Posts 34 Reaction score 15 Mar 12, 2014 #1 tiba yake ipi kwani kadri siku zinavyozidi kwenda napoteza uwezo wakusikia msaada wanajf
BONGOLALA JF-Expert Member Joined Sep 14, 2009 Posts 16,508 Reaction score 11,897 Mar 12, 2014 #2 Tumia Mafuta ya karanga nyonyo au ya kuku
S SHADRACK LUTOBECK Senior Member Joined Sep 29, 2013 Posts 129 Reaction score 18 Mar 12, 2014 #3 Unasiku ngapi unasumbuliwa na tatzo hilo?Nina dawa inayotibu matatzo hayo dawa ni miti shamba lakini iko kwenye fomu ya kimiminika,ni dawa nzurisana inawasaidia watu wengisana,kwa mengi zaidi ntafute kwa,0759217720
Unasiku ngapi unasumbuliwa na tatzo hilo?Nina dawa inayotibu matatzo hayo dawa ni miti shamba lakini iko kwenye fomu ya kimiminika,ni dawa nzurisana inawasaidia watu wengisana,kwa mengi zaidi ntafute kwa,0759217720
V viso Member Joined Feb 3, 2014 Posts 17 Reaction score 0 Mar 13, 2014 #4 tumia majani ya bangi pikinya mchuzi weka ndani ya sikio mda mfupi utapona