Msaada: Dawa ya michirizi

Rama Ngozi

Member
Joined
Oct 7, 2013
Posts
36
Reaction score
8
Naomba kuuliza jaman dawa ya michiriz kwenye mapaja.... mpenz wang ana michiriz imemtokea ghafla..
 
Hatukuambii dawa ng'oo hadi kwanza utupie picha ya hayo mapaja yenye michirizi hapa!
 
mpeleke hospital pia afanye mazoezi ya viungo
 
Aisee unataka kufuta michirizi ya utamu, watu wakiionaga hiyo hasa ile ya nyuma ya goti wanachanganyikiwa wewe wataka itoa
 
Mafuta ya nazi ama olive oil yanasaidia ukipaka kila siku. Unaweza kuyapasha moto kidogo na ku-massage asubuhi na jioni.
 
wewe ni mwanaume wa Dar? michirizi ukiweza kuitumia vizur bas mpenz wako atakuona wakipekee
 
Tafuta Aunt Zainab's Natural Super Clay, imo humu jf. Ni kiboko kwa matatizo yote ya ngozi.
 
Michirizi ni stimu kwangu na kwa wengine pia nadhani, huwezi amini nikiona mguu hata kama ni mzuri kiasi gani kuvutia kwake kama hauna michirizi ni kidogo sana. Kuna ile myembamba flani hivi nyuma ya goti na kushuka kidogo, yaani!!! We acha tu, utadhani utamu ndo uko pale. Usipoteze hela bure, badili mtazamo wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…