Nimeapoad picVinafananaje
Pls angalia attachmentTuma picha tujue vina fananaje mkuu
Pls angalia kwenye post nimefanya attachmentVinafananaje
Hakuna attachment inayoonekana mayb itume tenaPls angalia attachment
Nimeatach kwakoHakuna attachment inayoonekana mayb itume tena
Hii hapaPls angalia attachment
Ooh Ni urticaria japo ndo iko kwenye Early stage il cha msingi ni bora kuizuia...Nimeatach kwakoView attachment 2798619
Asante sana Doc,i appreciate your assistance. Nilikuwa porini kidogo nikahitaji repellentOoh Ni urticaria japo ndo iko kwenye Early stage il cha msingi ni bora kuizuia...
Tafuta Predinisolone Tablets kunywa 10Mg BD kw siku 4 tu then 5mg BD kwa siku 3....
Halafu kama Panawasha sana Tafuta...
Hydrocortisone+Fusidic acid Cream paka mara mbili kwa siku kwa siku 5
Then Acha matumizi ya Mosquitos Repelent sio mazuri au unafanya kazi ya ulinzi?
Ooh sawaAsante sana Doc,i appreciate your assistance. Nilikuwa porini kidogo nikahitaji repellent