Shukrani mkuuTumia hydrogen peroxide mouth wash na caps ampiclox 500mg tds 5/7 na metronidazole 400mg tds 5/7
Sent using Jamii Forums mobile app
chemsha maji tia chumvi unywe ni tiba nzuri sana na ya harakaHabari za jumapili wadau
Kwanza kabisa niombe kwa anaemfahamu hospital nzuri ambayo naweza pata dakatri mzuri wa tezi ya shingoni kwa apa dar es salaam
Nina ndugu yangu ameonekana anadalili za tezi shingoni hivo wajuzi wa haya mambo naombeni msaada either wa dawa nzuri ambayo inaweza ondoa tezi au hospitali nzuri ambayo naweza pata huduma ili kuweza msaidia mgonjwa tezi lisiendelee
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app