vipi kuhusu mafuta ya ubuyu?Tumia asali kupaka kwenye kidonda kitakauka baada ya muda mfupi.
ndugu kutokana na ka-knowledge kadogo ka first aid & emergency care, kidonda cha moto au kidonda chochote kile kinapona haraka kutokana na care & cleanliness yako...hakikisha unakisafisha vizuri, obvious kuzuia bacterial infections maana ni chanzo cha prolonged healing, afu sijakuwa aware na prescribed drugs, pills just contact a health professional
Nimeungua moto kama mwezi mmoja uliopita, nimejaribu dawa nyingi za kumeza pamoja na kupaka sijapata matokeo mazuri, naomba kwa mtu anayejua dawa za vidonda sugu aniambie aina na inapatikana wapi
rafiki ninavyosikia LFC mashabiki wake wanaanzia 35 yrs of age and above, asa me chini sana hapo siwez shabikia timu ya maveteraniutakua shabiki wa LFC, una busara sana