Msaada, Dell Laptop!

Msaada, Dell Laptop!

Donnie Charlie

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2009
Posts
16,908
Reaction score
19,123
Habari wapendwa! Nimekutana na dell moja hapa ina sehemu ya kuweka simcard lakini nikienda kwa device manager sioni device yenye jina linalohusiana nalo. je inawezekana kuweka simcard na kutumia kama modem na inatambulishwaje?
 
Yeah, hata mimi yangu ni Lattitude D630, kuna sehemu ya sim card chini ya betri, nikajaribu kuweka line lakini sikuona action yoyote mu-computer. A help please?
 
Download manual ya laptop yako ujue h hapo ingia nini. Inawezekana ni kwa jili ya memory card za camera na vitu kama hivyo.

Rule No 1 ukiwa na shida ya kifaa chochote inaitwa RTFM. Yaani Read The fu****ng Manual.

So nendeni dell mdownload manula ya laptop zenu
 
nakumbuka ni ispiron kwa model nimesahau ila itakuwa yangu soon, nitaweka details za kutosha. kuna mdau ameniambia nitafute ktk website ya Dell then niandike broadband utility program nitapata
 
Back
Top Bottom