jana nilibahatika kuingia katika wodi ya wagonjwa wa kisukari, nimemkuta nesi anasuruhisha mke na mume, wanagombana, na mume ndio amekuwa mkali awaka huku machozi yamtoka, amtuhumu mkewe tangu yeye ameanza kuumwa mkewe anazidi kuwa mzuri na hata makalio yake yamekuwa malaini sana, sasa ikabidi nisimame kidogo nimsikilize mzee mzee anaongea huku analia, sasa mkewangu anachukuliwa na wengine nesi fanya kitu ama mimi nakufa..sasa yule nesi amwambia mzee angalia kwanza hali yako, maana mambo ndio yashakuwa hivyo tena we vumilia kwanza upate nafuu ndipo hayo masuala mengine tutajua jinsi ya kukusaidia...yule mama wa watu kakaatu pembeni kajiinamia.......hapo ndio nikajua kweli sukari haina adabu....KITU HAKIENDI MNALA