msaada Docters na mwenye ufahamu.

msaada Docters na mwenye ufahamu.

samilakadunda

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2011
Posts
1,780
Reaction score
355
mama yangu mzazi,anasumbuliwa na maumivu makali ndani ya mfupa kuanzia kiunoni hadi kwenye goti,kwa maelezo yake unauma kama kidonda ndani ya mfupa, ameenda hosp kapiga x ray wanasema kuna infection, nasasa anawiki ya 2 yupo kitandani, ombi langu wapi tunaweza kupata tiba? Pili ni dawagani anatakiwa kutumia ili walau apatenafuu.nipo morogoro.nisaidieni mama yangu anateseka jamani.
 
Back
Top Bottom