Mimi ni mschana mwenye miaka 25 Siku hizi nachoka sana mikono nikifua yaaani kama inaishiwa nguvu na kuchoka hapo ni nguo ya pili tuu.....zaman nlikua nafua mpka rundo la nguo sisikii kuchoka mikono vile vile nachoka miguu mapema nikitembea msaada plz itakua tatizo gani?