Msaada doctor wa magonjwa ya moyo

zamlock

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2010
Posts
3,840
Reaction score
659
Habari za asubuhi wapendwa mimi niko dar hapa ila nina mdogo wangu anasumbuliwa na moyo watu wamenishauri nimpeleke muhimbili na kwa pale sina uzoefu nianzie wapi kama kuna doctor hapa yuko muhimbili ni sms nije muhimbili mnisaidie jamani
 
We nenda tu usihofu utapata huduma unayostahili.Ondoa wasiwasi, taasisi ya moyo ya JK ipokwa ajili yetu
 
Habari za asubuhi wapendwa mimi niko dar hapa ila nina mdogo wangu anasumbuliwa na moyo watu wamenishauri nimpeleke muhimbili na kwa pale sina uzoefu nianzie wapi kama kuna doctor hapa yuko muhimbili ni sms nije muhimbili mnisaidie jamani

Nenda tu moja kwa moja haina haja ya kuwa mwenyeji
 
pole sana kwa kuuguza,kama ndugu yako anatumia NHIF sawa aende muhimbili,ila kama hatumii NHIF na muna uwezo kidogo wa ki-fedha nakushauri uende hospitali binafsi kwasababu utapata huduma nzuri na kwa haraka zaidi.
Kuna hospitali moja inaitwa MOYO HEART CENTRE ipo kinondoni kwa BIAFRA jirani kabisa na OPEN university,Ni hospitali nzuri sana ambayo inahusika na matibabu ya moyo peke yake na daktari wake anaitwa Dr.Bandali.
 
mkuu acha kumdanganya mgonjwa hakuna hospital na ina madocta bingwa kama muhimbilu kitengo cha jk mm ni mhanga wa hayo mambo nalijua pale pana madocta waliobobea sana acha kuleta blabla
 
ndugu nenda uzoefu utaupata ukisha fika mpeleke na ataanzishiwa kliniki kulingana na tatizo lake
kwangu mim naona inakuwa rahisi zaidi ukiwa na ref kama hajawahi kutibiwa kabisa pale
 
Yupo Dr mwingine safi kabisa yupo upanga karibu na diamond ukumbi infact ni pale jengo la scout ingia kwa nyuma utatibiwa vzr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…