M Mkwanda Senior Member Joined Apr 6, 2012 Posts 122 Reaction score 14 Jan 18, 2013 #1 Habari,mpenzi wangu amekua akilalamika kuumwa na tumbo kila mara baada ya tendo,tumbo hua linamuuma chini ya kitovu.she iz 22yrz na wala hatutumii nguvu kwenye tendo,some times goli moja tu na saizi ya uume wangu ni kawaida sana.
Habari,mpenzi wangu amekua akilalamika kuumwa na tumbo kila mara baada ya tendo,tumbo hua linamuuma chini ya kitovu.she iz 22yrz na wala hatutumii nguvu kwenye tendo,some times goli moja tu na saizi ya uume wangu ni kawaida sana.