Msaada Doctors plz...

Mkwanda

Senior Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
122
Reaction score
14
Habari,mpenzi wangu amekua akilalamika kuumwa na tumbo kila mara baada ya tendo,tumbo hua linamuuma chini ya kitovu.she iz 22yrz na wala hatutumii nguvu kwenye tendo,some times goli moja tu na saizi ya uume wangu ni kawaida sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…