Nina phy-E, adv-D na chem-C but nina F ya Gs... Ndoto zangu ni kusoma engineering, je kati ya civil,mining na petroleum, ipi nzuri wadau
Mwenzio nilipata B+ ya GS, chezea mimi weye...Back to topic...
Unacho apply sio faculty kama ulivyoandika kwenye heading, una apply kusoma course au degree programme, kila la kheri...
sio tuliidharau, mi sijajua nn kimetokea coz mtihani nilifanya vizuri 2
Hahaha. Yaani unafunga kamba kuliko babu yangu. GS ni either F ama S. toka hapa!
Ohoo.... miaka ile tunasoma wenye akili tulikuwa wachache sana, sasa mimi nilipiga hiyo G.S hadi wakaona aibu kuniwekea S , wakaniwekea B+ kwa mbinde....
Gs haina impact yoyote ktk kuomba chuo dogo,we omba tu haina madhara kabisa hyo.over
Nadhani Perry yuko sahihi, adhabu ya kufeli GS ni kwenye cheti chako, badala ya kuandikiwa daraja ulilostahili, unaweza andikiwa daraja la chini licha ya kwamba umefaulu.
Kwenye kuchagua kozi wataangalia masomo yanayohusika na hiyo kozi umefaulu vipi.
GS inakuongezea point za kuchaguliwa. Nadhani ina 0.5 kama nakumbuka sawasawa. Hebu ngoja nijikumbushe:
A=5
B= 4
C=3
D=2
E=1
S=0.5