Night shadow
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 574
- 1,098
Habari zenu ndugu zangu Naomba kujua pale mtu anapo shitakiwa na mahakama ikamtia hatiani kisha ikamtaka kulipa faini au kwenda jela kwa kipindi fulani.
Je mtu huyo anapokosa hela ya faini nakwenda jela, je ndugu badae watapopata hela hiyo wanaweza kwenda kulipa na akatoka au ni vipi?
Na kuna muda maalumu ambao kama atakaa jela hataruhusiwa?
Je mtu huyo anapokosa hela ya faini nakwenda jela, je ndugu badae watapopata hela hiyo wanaweza kwenda kulipa na akatoka au ni vipi?
Na kuna muda maalumu ambao kama atakaa jela hataruhusiwa?