Night shadow
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 574
- 1,098
Sina hakika lakini nadhani utachagua adhabu moja kati ya hizo mbili
ukichagua kulipa faini basi utasubiriwa ulipe faini
Ukichagua kifungo utafungwa tu hata kama baadae utakuwa na hela zaidi ya hukumu ya mahakama.
Sibu sahihi ni hili hapa, siku yoyote akipata faini Ndugu wataenda mahakamani kulipa watapewa risiti ambayo nyuma ya risiti itagongwa muhuri wa hakimu, halafu Ndugu wataenda na hiyo risiti gerezani watamtoa mfungwa na kuachiwa