Msaada field za TICTS

Mponjori

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2011
Posts
2,205
Reaction score
551
Habari wanaJF wenzangu.nimepata field ktk kampuni ya TICTS,natakiwa kuripoti jumatatu ijayo,nimemaliza chuo na mina Advanced Diploma in IT..naomba msaada kwa waliowahi fanya field hapo je,wana support yoyote ile?je wana kawaida ya kuajiri watu walioko field?..
 
Mie nshafanya field hapo.

We ni she/he?

Sasa ukimaliza chuo afu una Advanced Diploma inakuwaje tena unaenda "Field?"
 
Ur nt normal! na haueleweki, yani umemalza chuo then unaenda field?
 
Nenda kwanza stop digging, we hata hiyo field hujaripoti una anza kuulizia ajira. Shida yenu nyie vijana mko over ambitious
 
Pambana,japokuwa wanafukuza sana wafanyakazi plz nenda ukajioonee mwenyewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…