Anitafute mimi nipate kumtibia kwa dawa zangu za asili na atapona.Kuna dada yangu ana uvimbe shingoni, alienda KCMC baada ya matibabu ya muda wakamreffer kuja Muhimbili amepimwa na majibu yameandikwa ivyo kama inavyosemeka kwenye topic, naomba kujua huo ni ugonjwa gani na nn tiba yake maana bado yupo hapa Dar hajarudi KCMC kupeleka majibu kwa Daktari.
Duc In Altum.